Yeremia 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitawagonganisha mmoja na mwingine, akina baba na wana, wakati uleule,”+ asema Yehova. “Sitaonyesha huruma, wala kuwa na majonzi, nami sitakuwa na rehema ya kujizuia kuwaharibu.”’+ Ezekieli 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+ Waroma 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+
14 Nami nitawagonganisha mmoja na mwingine, akina baba na wana, wakati uleule,”+ asema Yehova. “Sitaonyesha huruma, wala kuwa na majonzi, nami sitakuwa na rehema ya kujizuia kuwaharibu.”’+
10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+
18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+