Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Tazama! Siku ya Yehova inakuja, ikiwa na ukali pamoja na ghadhabu na pamoja na hasira inayowaka, ili kuifanya nchi iwe kitu cha kushangaza,+ na ili kuwaangamiza watenda-dhambi wa nchi kutoka ndani yake.+

  • Isaya 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vitawi vyake vitakapokuwa vimekauka, wanawake wanaoingia watavivunja, na kuviwasha.+ Kwa maana wao ni kundi la watu lisilo na hamu ya uelewaji.+ Ndiyo sababu Mtengenezaji wake hatalionyesha rehema, na Mfanyizaji wake hatalionyesha kibali.+

  • Ezekieli 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na jicho langu halitakusikitikia, wala sitakuwa na huruma,+ kwa maana juu yako nitazileta njia zako mwenyewe, na katikati yako machukizo yako mwenyewe yatakuja kuwamo;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

  • Ezekieli 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+ Lazima ije,+ nami nitatenda. Sitapuuza,+ wala sitasikitika + wala kujuta.+ Kulingana na njia zako na kulingana na matendo yako hakika watakuhukumu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki