13 Na bado ndani yake patakuwa na sehemu ya kumi,+ nayo itakuwa tena kitu cha kuteketezwa, kama mti mkubwa na kama mti mnene sana ambapo, inapokatwa,+ kuna kisiki;+ uzao mtakatifu utakuwa kisiki chake.”+
6 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kama vile mzabibu kati ya miti ya msituni, ambao nimeupa moto uwe kuni, ndivyo nimewatoa wakaaji wa Yerusalemu.+
6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+