Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Huo umeteketezwa kwa moto, umekatwa.+

      Wanaangamia kutokana na kemeo la uso wako.+

  • Isaya 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na bado ndani yake patakuwa na sehemu ya kumi,+ nayo itakuwa tena kitu cha kuteketezwa, kama mti mkubwa na kama mti mnene sana ambapo, inapokatwa,+ kuna kisiki;+ uzao mtakatifu utakuwa kisiki chake.”+

  • Ezekieli 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kama vile mzabibu kati ya miti ya msituni, ambao nimeupa moto uwe kuni, ndivyo nimewatoa wakaaji wa Yerusalemu.+

  • Mathayo 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tayari shoka+ limewekwa kwenye mzizi wa miti; basi, kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa+ na kutupwa ndani ya moto.+

  • Yohana 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki