Ezekieli 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kama mbao za mzabibu kati ya miti ya msituni, ambazo nimezitoa ziwe kuni kwa ajili ya moto, ndivyo nitakavyoshughulika na wakaaji wa Yerusalemu.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:6 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kama mbao za mzabibu kati ya miti ya msituni, ambazo nimezitoa ziwe kuni kwa ajili ya moto, ndivyo nitakavyoshughulika na wakaaji wa Yerusalemu.+