Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:14-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ee Mungu wa majeshi, rudi tafadhali.

      Tazama chini kutoka mbinguni uone!

      Utunze mzabibu huu,+

      15 Shina* ambalo mkono wako wa kuume umepanda,+

      Na umtazame mwana ambaye umemtia nguvu* kwa ajili yako mwenyewe.+

      16 Umechomwa moto,+ umekatwa.

      Wanaangamia kwa kemeo lako.*

  • Isaya 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo, kama mwali wa moto unavyoteketeza majani makavu

      Na majani makavu yanavyonyauka katika moto,

      Mizizi yao wenyewe itaoza,

      Na maua yao yatatawanyika kama ungaunga,

      Kwa sababu walikataa sheria* ya Yehova wa majeshi,

      Na kulidharau neno la Mtakatifu wa Israeli.+

  • Yeremia 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+

  • Ezekieli 20:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Uambie msitu wa kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ninawasha moto dhidi yako,+ nao utateketeza kila mti mbichi na kila mti uliokauka ndani yako. Moto huo unaowaka hautazimwa,+ nao utachoma kila uso, kuanzia kusini mpaka kaskazini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki