7 Kwa maana shamba la mizabibu la Yehova wa majeshi ni nyumba ya Israeli;+
Watu wa Yuda ndilo shamba alilolipenda sana.
Aliendelea kutumaini haki itendwe,+
Lakini tazama! kulikuwa na ukosefu wa haki;
Alitumaini uadilifu ufanywe,
Lakini tazama! kulikuwa na kilio cha huzuni.”+