Kutoka 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ Isaya 49:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa Yehova, Yule aliyeniumba tangu tumboni niwe mtumishi wake,Amesema kwamba nimrudishe Yakobo kwake,Ili watu wa Israeli wakusanyike kwake.+ Nitatukuzwa machoni pa Yehova,Na Mungu wangu tayari atakuwa nguvu zangu.
22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+
5 Na sasa Yehova, Yule aliyeniumba tangu tumboni niwe mtumishi wake,Amesema kwamba nimrudishe Yakobo kwake,Ili watu wa Israeli wakusanyike kwake.+ Nitatukuzwa machoni pa Yehova,Na Mungu wangu tayari atakuwa nguvu zangu.