Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo kama mwali wa moto unavyoteketeza majani makavu+ na kama majani matupu yanavyoingia ndani ya miali ya moto, ndivyo kisiki chao kitakavyokuwa kama harufu ya kuoza,+ na ua lao litaenda juu kama mavumbi, kwa sababu wameikataa sheria ya Yehova wa majeshi,+ nao wamelidharau neno la Mtakatifu wa Israeli.+

  • Yeremia 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Amepanda kama simba kutoka katika kichaka chake,+ na yule anayeyaangamiza mataifa ameondoka;+ ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yako yatabomoka hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+

  • Yeremia 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zinamwagwa juu ya mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na juu ya mnyama wa kufugwa, na juu ya mti wa shambani+ na juu ya mazao ya udongo; nayo itateketeza, wala haitazimwa.’+

  • Ezekieli 20:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nawe utauambia msitu wa kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tazama, ninawasha moto juu yako,+ nao utateketeza ndani yako kila mti ambao ungali mbichi na kila mti uliokauka.+ Mwali huo wa moto unaowaka hautazimwa,+ na kwa huo nyuso zote zitateketezwa kutoka kusini mpaka kaskazini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki