-
Isaya 5:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Kwa hiyo kama mwali wa moto unavyoteketeza majani makavu+ na kama majani matupu yanavyoingia ndani ya miali ya moto, ndivyo kisiki chao kitakavyokuwa kama harufu ya kuoza,+ na ua lao litaenda juu kama mavumbi, kwa sababu wameikataa sheria ya Yehova wa majeshi,+ nao wamelidharau neno la Mtakatifu wa Israeli.+
-
-
Ezekieli 20:47Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
47 Nawe utauambia msitu wa kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tazama, ninawasha moto juu yako,+ nao utateketeza ndani yako kila mti ambao ungali mbichi na kila mti uliokauka.+ Mwali huo wa moto unaowaka hautazimwa,+ na kwa huo nyuso zote zitateketezwa kutoka kusini mpaka kaskazini.+
-