Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

  • Yeremia 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘“Lakini ikiwa hamtanitii kwa kuitakasa siku ya sabato na kutobeba mzigo,+ lakini mwingie nao kupitia malango ya Yerusalemu katika siku ya sabato, mimi pia nitawasha moto wa kuteketeza katika malango yake,+ nao hakika utaiteketeza minara ya makao ya Yerusalemu+ nao hautazimwa.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki