Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+

      Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+

  • Isaya 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na nchi yao imejaa miungu isiyo na thamani.+ Wao huinamia kazi ya mikono ya mtu, kile ambacho vidole vya mtu vimetengeneza.+

  • Isaya 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini mabaki yake huyafanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa. Huisujudia na kuinama na kuitolea sala na kusema: “Nikomboe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+

  • Mika 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitakatilia mbali sanamu zako za kuchongwa na nguzo zako kutoka katikati yako, nawe hutainamia tena kazi ya mikono yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki