28 Na huko mtalazimika kuitumikia miungu mingine,+ kazi ya mikono ya mwanadamu, miti na mawe,+ ambayo haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.+
2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+
20 Lakini wale wanadamu wengine ambao hawakuuawa kwa yale mapigo hawakutubu matendo ya mikono yao,+ ili kwamba wasiabudu roho waovu+ na sanamu za dhahabu na fedha+ na shaba na mawe na miti, ambazo haziwezi kuona wala kusikia wala kutembea;+