6 Kuna wale wanaotoa dhahabu kwa wingi katika kikoba, nao hupima fedha kwa mizani. Wanamwajiri fundi wa chuma, naye huifanya kuwa mungu.+ Wanasujudu, ndiyo, wanainama.+
8 Lakini yeye mwenyewe hakutambua+ kwamba mimi ndiye niliyempa nafaka+ na divai tamu na mafuta, na kwamba nilimfanya awe na fedha nyingi, na dhahabu, ambayo waliitumia kwa Baali.+