Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+

      Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+

  • Isaya 46:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kuna wale wanaotoa dhahabu kwa wingi katika kikoba, nao hupima fedha kwa mizani. Wanamwajiri fundi wa chuma, naye huifanya kuwa mungu.+ Wanasujudu, ndiyo, wanainama.+

  • Yeremia 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na kwa fedha na dhahabu mtu huzifanya zipendeze.+ Huzifunga kwa misumari na kwa nyundo, ili yoyote isiyumbe-yumbe.+

  • Hosea 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini yeye mwenyewe hakutambua+ kwamba mimi ndiye niliyempa nafaka+ na divai tamu na mafuta, na kwamba nilimfanya awe na fedha nyingi, na dhahabu, ambayo waliitumia kwa Baali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki