Zaburi 115:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,+Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+ Zaburi 135:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,+Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+ Isaya 40:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Fundi ametengeneza tu sanamu ya kuyeyushwa,+ na fundi wa chuma huifunika kwa dhahabu,+ naye anafua minyororo ya fedha.+ Hosea 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+
19 Fundi ametengeneza tu sanamu ya kuyeyushwa,+ na fundi wa chuma huifunika kwa dhahabu,+ naye anafua minyororo ya fedha.+
2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+