36 Yehova atakufanya wewe na mfalme wako ambaye umemweka juu yako mpige mwendo+ mpaka taifa ambalo hukujua, wala wewe wala mababu zako; na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine, ya miti na ya mawe.+
32 Na kile kinachoingia katika roho yenu+ hakika hakitatukia,+ kwa kuwa mnasema: “Na tuwe kama mataifa, kama familia za nchi mbalimbali,+ katika kuhudumia miti na mawe.” ’ ”+