Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Maombolezo 3:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi, ni nani amesema kwamba jambo litokee wakati Yehova mwenyewe hakuamuru?+