Ezekieli 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo roho ya Yehova ikaniangukia,+ naye akaendelea kuniambia: “Sema, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema:+ “Ninyi mlisema jambo lililo sawa, Ee nyumba ya Israeli; na kuhusu mambo yanayokuja katika roho yenu, mimi mwenyewe nimeyajua.+
5 Ndipo roho ya Yehova ikaniangukia,+ naye akaendelea kuniambia: “Sema, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema:+ “Ninyi mlisema jambo lililo sawa, Ee nyumba ya Israeli; na kuhusu mambo yanayokuja katika roho yenu, mimi mwenyewe nimeyajua.+