Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo Yehova akashuka katika wingu,+ akasema naye,+ akachukua sehemu ya roho+ iliyokuwa juu yake na kuiweka juu ya kila mmoja wa wale wanaume wazee 70. Na ikawa kwamba mara tu roho hiyo ilipotua juu yao, ndipo wakaanza kutenda kama manabii; lakini hawakufanya hivyo tena.+

  • 1 Samweli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na roho+ ya Yehova hakika itaanza kutenda kazi juu yako, kisha utasema kama nabii+ pamoja nao, nawe utabadilishwa uwe mtu mwingine.

  • Ezekieli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na roho ikaanza kuingia ndani yangu mara tu aliposema nami,+ nayo mwishowe ikanifanya nisimame kwa miguu yangu ili nimsikie Yule anayesema nami.+

  • Ezekieli 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo roho ikaingia+ ndani yangu na kunifanya nisimame kwa miguu yangu,+ naye akaanza kusema nami na kuniambia:

      “Nenda, jifungie ndani ya nyumba yako.

  • Mika 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nimejaa nguvu, kwa roho ya Yehova, na ya haki na uwezo,+ ili nimwambie Yakobo maasi yake na Israeli dhambi yake.+

  • 2 Petro 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu+ kama walivyoongozwa na roho takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki