17 Nami nitashuka chini+ na kusema nawe huko;+ nami nitaondoa sehemu ya roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kuubeba mzigo wa watu ili usiubebe, wewe peke yako.+
9 Na ikawa kwamba mara walipokuwa wamevuka, Eliya akamwambia Elisha: “Omba lile ninalopaswa kukutendea kabla sijachukuliwa kutoka kwako.”+ Naye Elisha akasema: “Tafadhali, sehemu mbili+ za roho+ yako zije kwangu.”+
15 Wakati wana wa manabii waliokuwa katika Yeriko walipomwona akiwa umbali fulani, wakaanza kusema: “Roho+ ya Eliya imetua juu ya Elisha.” Basi wakaja kumpokea, wakamwinamia.+