Ezekieli 20:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na kile kinachoingia katika roho yenu+ hakika hakitatukia,+ kwa kuwa mnasema: “Na tuwe kama mataifa, kama familia za nchi mbalimbali,+ katika kuhudumia miti na mawe.” ’ ”+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
32 Na kile kinachoingia katika roho yenu+ hakika hakitatukia,+ kwa kuwa mnasema: “Na tuwe kama mataifa, kama familia za nchi mbalimbali,+ katika kuhudumia miti na mawe.” ’ ”+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+