Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Iko wapi miungu ya Hamathi+ na Arpadi?+ Iko wapi miungu ya Sefarvaimu?+ Na je, imekomboa Samaria kutoka mkononi mwangu?+

  • Isaya 37:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na ikawa kwamba alipokuwa akiinama nyumbani mwa Nisroki+ mungu wake,+ Adrameleki na Shareza, wanawe mwenyewe, wakampiga na kumuua kwa upanga,+ nao wakakimbia, wakaenda katika nchi ya Ararati.+ Na Esar-hadoni+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • Isaya 45:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Jikusanyeni na kuja.+ Njooni karibu pamoja, ninyi wenye kuponyoka kutoka katika mataifa.+ Wale wanaochukua miti ya sanamu yao ya kuchongwa hawajapata ujuzi wowote, wala wale wanaotoa sala kwa mungu ambaye hawezi kuokoa.+

  • Isaya 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki