Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, akaweka sanamu ya kuchongwa+ aliyokuwa ametengeneza katika nyumba ya Mungu wa kweli,+ ambayo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua+ kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu+ mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Lakini iko wapi miungu yako ambayo umejifanyia?+ Na isimame ikiwa inaweza kukuokoa wakati wa msiba wako.+ Kwa maana miungu yako imekuwa kama hesabu ya majiji yako, Ee Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki