Waamuzi 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nendeni mwombe msaada kutoka kwa miungu+ ambayo mmechagua.+ Hiyo na iwaokoe wakati wa taabu yenu.” Isaya 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+
14 Nendeni mwombe msaada kutoka kwa miungu+ ambayo mmechagua.+ Hiyo na iwaokoe wakati wa taabu yenu.”
7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+