20 “Jikusanyeni na kuja.+ Njooni karibu pamoja, ninyi wenye kuponyoka kutoka katika mataifa.+ Wale wanaochukua miti ya sanamu yao ya kuchongwa hawajapata ujuzi wowote, wala wale wanaotoa sala kwa mungu ambaye hawezi kuokoa.+
7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+