27 Na ikawa kwamba ilipofika katikati ya mchana Eliya akaanza kuwafanyia dhihaka+ na kusema: “Iteni kwa sauti kubwa, kwa maana yeye ni mungu;+ kwa maana lazima iwe ana kazi fulani, naye ana kinyesi+ na lazima aende chooni.+ Au pengine amelala usingizi naye anapaswa kuamka!”+
28 “Lakini iko wapi miungu yako ambayo umejifanyia?+ Na isimame ikiwa inaweza kukuokoa wakati wa msiba wako.+ Kwa maana miungu yako imekuwa kama hesabu ya majiji yako, Ee Yuda.+