24 Kwa hiyo, kama mwali wa moto unavyoteketeza majani makavu
Na majani makavu yanavyonyauka katika moto,
Mizizi yao wenyewe itaoza,
Na maua yao yatatawanyika kama ungaunga,
Kwa sababu walikataa sheria ya Yehova wa majeshi,
Na kulidharau neno la Mtakatifu wa Israeli.+