Ayubu 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Chini, mizizi yake itakauka,+Na juu, tawi lake litanyauka. Hosea 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Efraimu atapigwa aanguke.+ Mzizi wao utakauka.+ Hawatazaa matunda yoyote.+ Pia, hata wakizaa, nitaviua vitu vyenye kutamanika vya tumbo lao.”+ Amosi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Lakini mimi, nilikuwa nimemwangamiza Mwamori+ kwa sababu yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, na ambaye alikuwa na nguvu kama miti mikubwa;+ nami nikaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.+
16 Efraimu atapigwa aanguke.+ Mzizi wao utakauka.+ Hawatazaa matunda yoyote.+ Pia, hata wakizaa, nitaviua vitu vyenye kutamanika vya tumbo lao.”+
9 “ ‘Lakini mimi, nilikuwa nimemwangamiza Mwamori+ kwa sababu yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, na ambaye alikuwa na nguvu kama miti mikubwa;+ nami nikaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.+