Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Chini, mizizi yake itakauka,+

      Na juu, tawi lake litanyauka.

  • Hosea 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Efraimu atapigwa aanguke.+ Mzizi wao utakauka.+ Hawatazaa matunda yoyote.+ Pia, hata wakizaa, nitaviua vitu vyenye kutamanika vya tumbo lao.”+

  • Amosi 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Lakini mimi, nilikuwa nimemwangamiza Mwamori+ kwa sababu yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, na ambaye alikuwa na nguvu kama miti mikubwa;+ nami nikaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki