Kumbukumbu la Torati 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sihoni alipotoka nje, yeye na watu wake wote, ili kukutana nasi vitani huko Yahazi,+ Kumbukumbu la Torati 2:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 ndipo Yehova Mungu wetu alipomtia mkononi mwetu,+ hivi kwamba tukamshinda yeye+ na wanawe na watu wake wote.
33 ndipo Yehova Mungu wetu alipomtia mkononi mwetu,+ hivi kwamba tukamshinda yeye+ na wanawe na watu wake wote.