Kumbukumbu la Torati 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova Mungu wako hakika atalitia mkononi mwako, nawe utampiga kila mwanamume aliye ndani yake kwa makali ya upanga.+ Nehemia 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Nawe ukawapa falme+ na vikundi vya watu, ukawagawia fungu kwa fungu;+ hivi kwamba wakamiliki nchi ya Sihoni,+ nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.+ Zaburi 135:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naam, Sihoni mfame wa Waamori+Na Ogu mfalme wa Bashani+Na falme zote za Kanaani,+ Zaburi 136:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
13 Yehova Mungu wako hakika atalitia mkononi mwako, nawe utampiga kila mwanamume aliye ndani yake kwa makali ya upanga.+
22 “Nawe ukawapa falme+ na vikundi vya watu, ukawagawia fungu kwa fungu;+ hivi kwamba wakamiliki nchi ya Sihoni,+ nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.+
18 Na ambaye aliua wafalme wenye fahari:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+