Yoshua 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi hawa ndio wafalme wa nchi ambao wana wa Israeli waliwashinda, na kuimiliki nchi yao ng’ambo ya Yordani upande wa mapambazuko ya jua,+ kutoka bonde la mto la Arnoni+ hadi Mlima Hermoni+ na Araba+ yote upande wa mashariki: Zaburi 105:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Na hatua kwa hatua akawapa nchi za mataifa,+Nao wakaendelea kumiliki kazi ngumu ya vikundi vya mataifa,+
12 Basi hawa ndio wafalme wa nchi ambao wana wa Israeli waliwashinda, na kuimiliki nchi yao ng’ambo ya Yordani upande wa mapambazuko ya jua,+ kutoka bonde la mto la Arnoni+ hadi Mlima Hermoni+ na Araba+ yote upande wa mashariki:
44 Na hatua kwa hatua akawapa nchi za mataifa,+Nao wakaendelea kumiliki kazi ngumu ya vikundi vya mataifa,+