Kumbukumbu la Torati 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nasi tukaendelea kuchukua wakati huo ile nchi kutoka mkononi mwa wale wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kutoka katika bonde la mto la Arnoni+ mpaka Mlima Hermoni;+ Kumbukumbu la Torati 4:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+
8 “Nasi tukaendelea kuchukua wakati huo ile nchi kutoka mkononi mwa wale wafalme wawili wa Waamori+ waliokuwa katika eneo la Yordani, kutoka katika bonde la mto la Arnoni+ mpaka Mlima Hermoni;+
48 kutoka Aroeri,+ jiji lililoko ukingoni mwa bonde la mto la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+