3 Wakanaani+ upande wa mashariki na magharibi, na Waamori+ na Wahiti+ na Waperizi+ na Wayebusi+ katika eneo lenye milima na Wahivi,+ pale chini ya Hermoni+ katika nchi ya Mispa.+
8 Na uje pamoja nami kutoka Lebanoni, ewe bibi-arusi,+ uje pamoja nami kutoka Lebanoni.+ Ushuke kutoka kilele cha Milima ya Anti-Lebanoni, kutoka kilele cha Seniri,+ naam, Hermoni,+ kutoka katika matundu ya simba, kutoka katika milima ya chui.