Wimbo wa Sulemani 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Njoo, bibi harusi wangu, tuondoke Lebanoni,Njoo tuondoke Lebanoni.+ Shuka kutoka kilele cha Amana,*Kutoka kilele cha Seniri, kilele cha Hermoni,+Kutoka kwenye mapango ya simba, kutoka kwenye milima ya chui.
8 Njoo, bibi harusi wangu, tuondoke Lebanoni,Njoo tuondoke Lebanoni.+ Shuka kutoka kilele cha Amana,*Kutoka kilele cha Seniri, kilele cha Hermoni,+Kutoka kwenye mapango ya simba, kutoka kwenye milima ya chui.