29 Yeye aliye na bibi-arusi ndiye bwana-arusi.+ Hata hivyo, rafiki ya bwana-arusi, anaposimama na kumsikia, ana shangwe nyingi sana kwa sababu ya sauti ya bwana-arusi. Kwa hiyo shangwe yangu hii imejazwa.+
9 Na akaja mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho,+ naye akasema nami na kuniambia: “Njoo hapa, nitakuonyesha bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”+