2 Kwa maana nina wivu juu yenu kwa wivu wa kimungu,+ kwa maana mimi binafsi niliwachumbia+ ninyi mume+ mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi kiadili+ kwa Kristo.+
9 Na akaja mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho,+ naye akasema nami na kuniambia: “Njoo hapa, nitakuonyesha bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”+