21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+
15Nami nikaona ishara+ nyingine mbinguni, kubwa na ya ajabu sana, malaika saba+ wenye mapigo saba.+ Hayo ndiyo ya mwisho, kwa sababu kupitia hayo hasira+ ya Mungu inamalizika.+