15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+
9 Naye ananiambia: “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa+ kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwana-Kondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”+