Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ufalme wa mbinguni umekuwa kama mtu, mfalme, aliyefanya karamu ya ndoa+ kwa ajili ya mwana wake.

  • Marko 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Yesu akawaambia: “Je, wakati bwana-arusi yupo pamoja nao rafiki za bwana-arusi wanaweza kufunga?+ Maadamu wana bwana-arusi pamoja nao hawawezi kufunga.+

  • Luka 5:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yesu akawaambia: “Je, mnaweza kuwafanya rafiki za bwana-arusi wafunge wakati bwana-arusi yupo pamoja nao?+

  • Yohana 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye aliye na bibi-arusi ndiye bwana-arusi.+ Hata hivyo, rafiki ya bwana-arusi, anaposimama na kumsikia, ana shangwe nyingi sana kwa sababu ya sauti ya bwana-arusi. Kwa hiyo shangwe yangu hii imejazwa.+

  • Ufunuo 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nikaona pia lile jiji takatifu,+ Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni+ kwa Mungu na limetayarishwa kama bibi-arusi+ aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki