15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+
29 Yeye aliye na bibi-arusi ndiye bwana-arusi.+ Hata hivyo, rafiki ya bwana-arusi, anaposimama na kumsikia, ana shangwe nyingi sana kwa sababu ya sauti ya bwana-arusi. Kwa hiyo shangwe yangu hii imejazwa.+