Marko 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa kwao, ndipo watakapofunga siku hiyo.+ Luka 5:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Lakini siku zitakuja wakati ambapo kwa kweli bwana-arusi+ ataondolewa kwao;+ ndipo watakapofunga siku hizo.”+
35 Lakini siku zitakuja wakati ambapo kwa kweli bwana-arusi+ ataondolewa kwao;+ ndipo watakapofunga siku hizo.”+