Mathayo 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+ Luka 5:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Lakini siku zitakuja wakati ambapo kwa kweli bwana-arusi+ ataondolewa kwao;+ ndipo watakapofunga siku hizo.”+ Luka 17:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo akawaambia wanafunzi: “Siku zitakuja mtakapotamani kuiona moja ya siku za Mwana wa binadamu lakini hamtaiona.+
15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+
35 Lakini siku zitakuja wakati ambapo kwa kweli bwana-arusi+ ataondolewa kwao;+ ndipo watakapofunga siku hizo.”+
22 Ndipo akawaambia wanafunzi: “Siku zitakuja mtakapotamani kuiona moja ya siku za Mwana wa binadamu lakini hamtaiona.+