Yohana 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana yule ambaye Mungu amemtuma husema maneno ya Mungu,+ kwa maana hatoi roho kwa kipimio.+ Yohana 8:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yule anayetoka kwa Mungu husikiliza maneno ya Mungu.+ Ndiyo sababu hamsikilizi, kwa sababu hamtoki kwa Mungu.”+
47 Yule anayetoka kwa Mungu husikiliza maneno ya Mungu.+ Ndiyo sababu hamsikilizi, kwa sababu hamtoki kwa Mungu.”+