-
Ufunuo 21:9Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
9 Na akaja mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa tauni saba za mwisho, naye akasema nami na kuniambia: “Njoo hapa, hakika nitakuonyesha bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”
-