9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho+ akaja na kuniambia: “Njoo, nami nitakuonyesha bibi harusi, mke wa Mwanakondoo.”+
9 Na akaja mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho,+ naye akasema nami na kuniambia: “Njoo hapa, nitakuonyesha bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”+