Ufunuo 15:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nikaona huko mbinguni ishara nyingine kubwa na ya ajabu sana, malaika saba+ wenye mapigo saba. Hayo ndiyo ya mwisho, kwa sababu kupitia hayo hasira ya Mungu inamalizika.+
15 Nami nikaona huko mbinguni ishara nyingine kubwa na ya ajabu sana, malaika saba+ wenye mapigo saba. Hayo ndiyo ya mwisho, kwa sababu kupitia hayo hasira ya Mungu inamalizika.+