2 Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekaa katika Heshboni,+ akitawala kutoka Aroeri,+ lililokuwa kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na katikati ya bonde la mto, na nusu ya Gileadi hadi bonde la mto la Yaboki,+ mpaka wa wana wa Amoni,
9 kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na lile jiji lililo katikati ya hilo bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu ya Medeba+ hadi Diboni;+