24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
24 “‘Ondokeni, mshike njia na kuvuka bonde la mto la Arnoni.+ Tazama, nimemtia mkononi mwako Sihoni+ mfalme wa Heshboni, yule Mwamori. Kwa hiyo anza kumiliki nchi yake, na kupigana vita naye.