Hesabu 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+ Kumbukumbu la Torati 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Ndipo Yehova akaniambia, ‘Tazama, nimeanza kumtia Sihoni na nchi yake mkononi mwako. Anza kuimiliki nchi yake.’+
24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
31 “Ndipo Yehova akaniambia, ‘Tazama, nimeanza kumtia Sihoni na nchi yake mkononi mwako. Anza kuimiliki nchi yake.’+