24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
8 “‘Mwishowe nikawaleta ninyi katika nchi ya Waamori waliokuwa wakikaa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, nao wakaanza kupigana nanyi.+ Ndipo nikawatia mkononi mwenu ili kuimiliki nchi yao, nami nikawaangamiza kutoka mbele yenu.+