13 Kumekuwa na ukosaji na kumkana Yehova;+ na kulikuwako kurudi nyuma kutoka kwa Mungu wetu, kusema ukandamizaji na maasi,+ kutunga na kunong’ona maneno ya uwongo kutoka moyoni.+
12 “Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uwongo,+ na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anatembea pamoja na Mungu,+ naye ni mwaminifu kwa aliye Mtakatifu Zaidi.”