Zaburi 78:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nao wakajaribu kumpumbaza kwa kinywa chao;+Na kwa ulimi wao wakajaribu kumwambia uwongo.+ Isaya 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+ Mika 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+
13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+
12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+